Home

Dr. Leonard Akwilapo

UMOJA NA MAENDELEO - Masasi Mjini

Tovuti Rasmi ya Mbunge wa Jimbo la Masasi Mjini 2025 – 2030 Dr L. D. Akwilapo

Mbunge wa Jimbo - Masasi Mjini

Kuhusu

Dr. Leonard Douglas Akwilapo ni kiongozi mwenye uzoefu mkubwa katika elimu, afya, na maendeleo ya jamii. Kwa sasa ni Mbunge wa Jimbo la Masasi Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiahidi kushirikiana na wananchi kuleta maendeleo ya kweli kwa wote.

Maono

Elimu Bora

Kuboresha shule na kutoa nafasi zaidi kwa vijana.

Afya Kwa Wote

Kuhakikisha huduma bora za afya zinapatikana kwa wananchi.

Ajira & Biashara

Kusaidia vijana kupata ajira na kukuza biashara ndogo..

Kampeni - Masasi

Dkt. Leonard Akwilapo, ameonyesha mfano wa namna sahihi ya kupiga tiki

Dkt. Leonard Akwilapo, ameonyesha mfano wa namna sahihi ya kupiga tiki

https://youtube.com/shorts/w6syhZxAkH4?feature=shareMgombea Ubunge wa Jimbo la Masasi Mjini, Dkt. Leonard Akwilapo, ameonyesha mfano wa namna sahihi ya kupiga tiki kwenye karatasi ...
/

Wana Mtandi Nyumbani kwa Akwilapo

Wana Mtandi nyumbani kwa Dkt Akwilapo wamezima zote na wamewasha kijani.Kwenye mkutano uliofanyika tarehe 16/09/2025 Wajumbe na wanachama wa CCM ...
/
Scroll to Top